Monday, May 16, 2011

Taarifa ya msiba

Wana-Mlimani wenzetu David, Joseph na wengine " The Kanumba's" wamefiwa na mama yao mpendwa jana.

Poleni sana familia ya Dr. Kanumba kwa msiba huu mzito wa kuondokewa na mama yetu, tulimpenda sana lakini Mungu kampenda zaidi, jina lake lihimidiwe.

Amen

NB: Mwenye taarifa zaidi tafadhali tupeane kupitia kwenye comments.

No comments:

Post a Comment