To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Tuesday, September 27, 2011

Wajasiliamali mkutano wa DICOTA Washington DC



 Rais Kikwete akipata maelezo kuhusu Umoja Phone
 Maelezo
Wamiliki wa kampuni ya kupiga simu Afrika Mashariki kwa gharama nafuu UmojaPhone , kutoka kushoto ni John Sausi na kulia ni Emmanuel Msengi, watembelee hapa http://www.umojaphone.com/

Wadau wa Umoja Phone

Hawa ni powering potencial ambao wapo New York nambali yao ni +1212 595 3549 na wanapatika kwa sanduku la posta 230913,New York,NY 10023

Hapa ni ESM TRAVEL ambao ni nambari 1 Traveling Agency waliopo 2170 S.Goebbert Rd suite 207,Arlington Heights,IL 60005 simu ni +1773 310 9923 na Tanzania wanapatikana kwa anuani ya posta +180414, Dar Es Salaam

Hii ilikua ni Hassan Maajar Trust (HMT) local non profit organization lengo lao ni kachangisha fedha kwa ajili ya kuboresha sekta ya elimu Tanzania kwa kununua madawati na kuboresha mazingira ya kusomea

Asia Idarous Khamsini nae alikua mmoja wa wajasiliamali waliokuwepo kwenye mkutano wa DICOTA kwa mahitaji ya nguo zake wasiliana nae +1832 273 6748

Shabani Mseba Hassani wa GOTHAN EQUIPMENT USA LTD wanaoshughulika na uuzaji wa hevy duty trucks kama vile Backhoe loaders,motor graders,wheel loader.kama unahitaji Heavy Duty Trucks popote pale ulipo usisite wasiliana nae nambali ya simu +1 888 835 5784,makao makuu yapo New York Add ni 47 West 129th St Suite 4B,New York,NY 10027

Hawa ni AFRICAN TRAILS LIMITED kwa maswala yote ya utalii na car hire tembelea tovuti yao www.africantrails.com

Wafanyakazi wa Ubalozi wetu Nchini Marekani kitengo cha VISA nao walikuwepo kwenye mkutano huu wa DICOTA kujaribu kujibu maswali yote yanayotatiza kuhusu VISA na mambo mengine ya Uhamiaji

Kushoni ni Karen Hoffman akiwa na Chanel LeMond ambao walikua chini ya TANZANIA TOURIST BOARD USA ambao ofisi zao zipo  347 Fifth Av,Suite 1205,New York,NY 10016 namba ya simu ni +1 212 447 0027.

No comments: