To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Wednesday, October 19, 2011

Mamia wamzika Maulid Ahmed Maulid Zanzibar

Maelfu ya wananchi washiriki katika kusindikiza jeneza lenye mwili wa Marehemu Maulid Hamad Maulid,(mwanahabari) na kuelekea kuzikwa Bumbwini Wilaya kaskazini B Unguja leo.

Waumini wa Dini ya kiislamu wakimsomea hitma  marehemu Maulid Hamad Maulid, katika msikiti wa Mombsa kwa mchina,ambae alifariki juzi katika Hospitali ya Mnazi Mmoja Mjini Unguja.

No comments: