To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Tuesday, October 25, 2011

RITA DOMINIC APEWA TUZO YA KUWA SINGLE KWA MUDA MREFU

Msanii wa Nollywood Rita Dominic (Pichani) amepewa tuzo ya ''Nollywood best single actress'' Hilo limetokana na yeye kuwa na umri wa miaka 37 lakini hana mume wala mtoto na ni muda mrefu tangu aishi maisha hayo japo alishadaiwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na msanii  mwenzake Jimmy IIke.
Rita anasema yuko poa tu na life hilo, mastaa wengi tu hata hapa bongo hupenda kuishi hivi au hufikia wakati wakaamua tu kuzaa basi ila suala la ndoa hawataki kabisa kulisikia kwasababu zao wenyewe.

No comments: