Friday, November 4, 2011
Zitto Kabwe
Mheshimiwa Zitto Kabwe (Mb) alipotembelewa na waTanzania wenzake ambao ni wagonjwa wenzake walio kwenye matibabu katika hospitali ya Apollo nchini India kwa lengo la kumuaga na kumtakia safari njema katika safari yake ya kurejea nyumbani Tanzania
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment