To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Monday, January 9, 2012

Henry Mdimu a.k.a Zee la Nyeti Auaga Ukapera

Mdau Henry Mdimu a.k.a Zee la Nyeti akionyeshana malavidavi na mai waifu wake

Henry na Mke wake
Barnaba Akiwatumbuiza Maharusi

Wakati wa maakuli uliwadia na maharusi ndio walioongoza kwa wageni waalikwa katika zoezi hilo.

Mroki Mroki na Mai Waifu wake

Gardner-MC

Barnaba Akitumbuiza

Mzee wa Libeneke,Ankal Michuzi na ubavu wake (kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Maharusi.

Mduara ukisongeshwa.

Wadau Othman (kushoto) na Ahmad Michuzi (kulia) wakiwa na maharusi ukumbini hapo.

Mwana FA na wadau.

Ma-MC

Picha zote na Michuzi-Matukio

No comments: