To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Thursday, January 19, 2012

Rais Kikwete Ashiriki Mazishi ya Regia Mtema

Rais Kikwete akiweka udongo katika kaburi la Marehemu Regia Mtema aliyekuwa mbunge wa CHADEMA viti maalum kutoka mkoani Morogoro, Regia Mtema amezikwa Ifakara mkoani humo leo huku mazishi yake yakihudhuriwa na viongozi wa Serikali na Bunge pamoja na wanasiasa na ndugu jamaa na marafiki hii leo., Marehemu Regia alifariki kwa ajali ya gari iliyotokea Ruvu mkoani Pwani siku ya jumapili

Rais Kikwete akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Regia Mtema aliyezikwa leo Ifakara mkoani Morogoro.

Wakazi mbalimbali wa mji wa Ifakara waliohudhuria mazishi ya Marehemu Regia .


No comments: