Mkuu wa Majeshi ya ulinzi na usalama Nchini Davis Mwamunyange akizungumza na Maafisa wakuu wa Jeshi la Polisi jana baada ya kutoa mada katika mkutano wa maafisa hao unaoendelea katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, Mkoani Kilimanjaro. Kushoto ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Said Mwema. (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi) |
No comments:
Post a Comment