Tuesday, March 13, 2012

Waandishi Washindana Kuonja Radha Ya Bia Za TBL Arusha

Meneja wa Kanda ya Kaskazini Mashariki wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Kasilo Msangi akizungumza na waandishi wa habari katika kiwanda cha TBL mkoani Arusha mwishoni mwa wiki, kuelezea mafanikio makubwa ya kampuni hiyo kwa kanda hiyo.

Baadhi ya waandishi wa habari Mkoa wa Arusha, wakitembelea kiwanda cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) mkoani Arusha, mwishoni mwa wiki.
Ofisa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Edith Mushi (kushoto) akimkabidhi zawadi ya katoni tatu za bia mwandishi wa gazeti la Majira, Pamela Mollel ambaye alishinda shindano la kutambua radha za aina mbalimbali za bia zinazozalishwa na kampuni hiyo. Shindano hilo lilikutanisha wanahabari wa Mkoa wa Arusha mwishoni mwa wiki.

No comments:

Post a Comment