To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Monday, October 24, 2011

JUDITH SANGU NDIYE MISS KIU 2011

Mrembo Judith Sangu usiku wa jana aliibuka kidedea baada ya kuwabwaga warembo wenzake katika shindano la kumsaka mlimbwende wa  Chuo Kikuu cha Kampala International University(KIU) tawi la Dar es Salaam.


Warembo waliofanikiwa kuingia tatu bora ni Judith Sangu ndiye mshindi(katikati),Martha Kamanyola mshindi wa pili (kulia) na Asha Mohamed mshindi wa tatu(kushoto).


No comments: