![]() |
| Mjumbe wa Kamati ya Sheria, Katiba Utawala Mhe. Andrew Chenge akitoa angalizo na ushauri wa kitaalamu wakati wa mjadala wa Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011 |
![]() |
| Mhe. Ole Konnay, Mjumbe wa Kamati ya Sheria, Katiba na Utawala akitoa ushauri wake wakati wa majadala. |
![]() |
| Wajumbe wa Kamati |
![]() |
| Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria, Katiba na Utawala ikiwa imekaa leo katika Ofisi ndogo ya Bunge Dar es Salaam. |
![]() |
| Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria, Sheria na Utawala Mhe. Pindi Chana |






No comments:
Post a Comment