![]() |
Baadhi ya wananchi wakipita kwa tabu katika mitaa iliyokuwa ikitiririka maji ya vinyesi leo Dar es Salaam hivyo kuwa kero kubwa kwao kutokana na harufu mbaya kuenea maeneo hayo. |
Hata hivyo juhudi za Thehabari.com kuwapata viongozi wa soko kungumzia hali hiyo hazikuzaa matunda hadi mwandishi anaondoka eneo la tukio.
No comments:
Post a Comment