Waziri Membe akisalimiana na wawakilishi wa mbalimbali wa Umoja wa Mataifa mara baada ya kuwasili. |
Bendi ya Shule ya Sekondari Jitegemee ikitoa burudani mbele ya wageni waalikwa kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam. |
Waziri Membe akikagua gwaride |
Wawakilishi kutoka Balozi mbalimbali na viongozi wa Serikali wakifuatilia sherehe hizo zilizokuwa zikendelea kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam |
No comments:
Post a Comment