![]() |
Mwili wa mtu aliyenaswa na umeme wakati akijaribu kuiba Transifoma ukishushwa juu na mafundi wa Tanesco Mwanza jana ukitolewa juu ya nguzo. |
![]() |
Mwili wa mtu ambaye hakufahamika jina lake ukiwa juu ya nguzo za umeme ,mtu huyo alinaswa na umeme na kupoteza maisha wakati akijaribu kuiba transifoma jijini Mwanza jana. |
![]() |
Wafanyakzi wa Tanesco wakivuta kamba ili kuushusha mwili wa mtu aliyekufa baada ya kunaswa na umeme alipokuwa akijaribu kuiba Transifoma jana Jijini Mwanza. |
No comments:
Post a Comment