Katibu Mkuu Kiongozi,Mh Philemon Luhanjo akisalimia wananchi wa Mawengi wakati wa mkutano wa hadhara kufuatia uzinduzi wa mradi wa umeme wa Luwawa |
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Mawengi wakati wa mkutano wa hadhara kufuatia uzinduzi wa mradi wa umeme wa Luwawa. |
Rais Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana na Wanafuzi wa shule za msingi katika wilaya ya Ludewa,Mkoani Iringa ambako yupo kwa ziara ya kikazi na kuzindua wa mradi wa umeme wa Luwawa. |
No comments:
Post a Comment