To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Sunday, November 13, 2011

Kikwete azindua mradi wa umeme Ludewa

Rais Dkt Jakaya Kikwete akiwa na Mbunge wa Ludewa Mh Filikunjombe na Mwenyekiti wa CCM Iringa muda mfupi kabla ya kuzindua mradi wa Umeme wa Lumama kijiji cha Mawengi, Ludewa, utonufaisha wananchi wapatao 10,000 katika vijiji vya Lupande, Mawengi na Madunda

 Katibu Mkuu Kiongozi,Mh Philemon Luhanjo akisalimia wananchi wa Mawengi wakati wa mkutano wa hadhara kufuatia uzinduzi wa mradi wa umeme wa Luwawa

Rais Dkt. Jakaya Kikwete akiwahutubia wananchi wa Mawengi wakati wa mkutano wa hadhara kufuatia uzinduzi wa mradi wa umeme wa Luwawa.

Rais Dkt Jakaya Kikwete akisalimia wananchi wakati akiwa njiani kuelekea Mawengi, Ludewa Kuzindua mradi wa umeme wa Lumama kijiji cha Mawengi, Ludewa, utaonufaisha wananchi wapatao 10,000 katika vijiji vya Lupande, Mawengi na Madunda

Rais Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana na Wanafuzi wa shule za msingi katika wilaya ya Ludewa,Mkoani Iringa ambako yupo kwa ziara ya kikazi na kuzindua wa mradi wa umeme wa Luwawa.

No comments: