To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Monday, November 14, 2011

Nape Asakata Kiduku Na Marlaw

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye (katikati) akisakata kiduku jukwaani na msanii Marlow alipopanda katika jukwaani kumuunga mkono msanii huyo alipotumbiza wakati wa sherehe za uzinduzi wa shina la wakereketwa wa CCM la mtaa wa Pamba House, Dar es Salaam, jana.

No comments: