Thursday, November 3, 2011

Maandalizi Ya Mkutano Wa Mazingira

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Dk Terezya Huvisa akizungumza na Waandishi wa Chama cha Habari za Mazingira[JET} jana kuhusu Maandalizi ya Mkutano wa 17 wa Nchi zilizoridhia Mkataba wa Umoja wa mataifa wa Mabadiliko ya Tabia nchi Unaotarajia Kufanyika Durban Afrika ya Kusini

No comments:

Post a Comment