To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Thursday, January 12, 2012

Ikulu Yafanya Sherry Party Kwa Wake Wa Mabalozi

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete (kushoto) akibadilishana mawazo na baadhi ya wake wa mabalozi katika sherry party Jan 11,2012 katika viwanja vya Ikulu jijijni Dar es salaam.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiagana na mke wa Balozi wa Libya nchini Madame Najaat Abeid katika viwanja vya Ikulu alipohudhuria hafla ya kusherehekea mwaka 2012.

Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya WAMA Mama Salma Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na baadhi wa wake wa Mabalozi.

Picha ya pamoja ya baadhi ya wake wa mabalozi waliohudhuria katika hafla ya kila mwaka ya Sherry Party iliyoandaliwa ma mke wa Rais Mama Salma Kikwete Jan.12.2011 katika viwanja vya Ikulu,jijini Dar es Salaam.

No comments: