![]() |
| Muonekano wa gari hili la mizigo ambalo limeharibikia bara barani. |
![]() |
| Mganga mkuu wa Hospitali ya Ifisi Dkt. Mbilinyi akiongea na moja ya majeruhi mapema leo. |
![]() |
| Hawa ni majeruhi kati ya wale 14. |
![]() |
| Baadhi ya Majeruhi walio nusurika katika ajali hiyo wakiwa katika Hospitali ya Ifisi kuelekea katika matibabu na kutazamwa kama wamepata matatizo yoyote. |
![]() |
| Mmoja wa majeruhi ambae alikuwa anatokea Dar es salaam kwenda kuwasalimu ndugu zake Ileje aliye fahamika kwa jina moja tuu la Andendekisye akiwa katika Hospital ya Ifisi Mbeya Muda huu. |
![]() |
Baadhi ya mabaki ya vitu baada ya ajali hiyo jana usiku. |
![]() |
| Hapa ndipo Basi la Prince Muro lilipo taka kuingia na kulikwepa gari hili na kupindukia upande wa pili. |
![]() |
| Shimo hili limechimbika wakati wa ajali hiyo ilipo tokea jana usiku. |
![]() |
Hili Ndilo Gari la mizigo ambalo basi la Price muro lilitaka kulipita, na baadae kushindwa na kupinduka baada ya kukutana na Gari lengine mbele yake. |
![]() |
| Basi la Price Muro Baada ya kupata ajali usiku wa kuamkia jana likielekea Tunduma kutokea Dar es salaam. |
![]() |
| Hivi ndivyo zinavyo onekana Damu na viti kuharibika vibaya baada ya ajali hiyo iliyo tokea jana usiku. |
![]() |
| Likiwa linaonekana baada ya kupinduka. |













No comments:
Post a Comment