Balozi Liberata Mulamula akiwa na Rais Jakaya Kikwete ofisini kwake Ikulu jijini Dar |
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Balozi Liberata Mulamula kuwa Msaidizi wa Rais Mwandamizi, Masuala ya Diplomasia.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Ikulu iliyotumwa kwa vyombo vya habari jana, uteuzi huo umeanza rasmi Februari 28, 2012.
Kabla ya kuteuliwa kwake, Balozi Mulamula alikuwa Katibu Mtendaji wa Nchi za Maziwa Makuu mwanzilishi ambaye alimaliza muda wake mwaka huu na kurejea nchini.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Ikulu iliyotumwa kwa vyombo vya habari jana, uteuzi huo umeanza rasmi Februari 28, 2012.
Kabla ya kuteuliwa kwake, Balozi Mulamula alikuwa Katibu Mtendaji wa Nchi za Maziwa Makuu mwanzilishi ambaye alimaliza muda wake mwaka huu na kurejea nchini.
No comments:
Post a Comment