To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Thursday, March 15, 2012

Kiapo

Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bwana Longinus Rutasitara akila kiapo mbele ya Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.Wapili kushoto anayeshuhudia ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na watatu kushoto ni Karani wa Baraza la Mawaziri Bwana Gerson Mdemu.

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimrekebisha koti Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bwana Longinus Rutasitara muda mfupi baada ya kumuapisha ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi .Kulia ni Makamu wa Rais Dkt.Mohamed Gharib Bilal aliyehudhuria hafla hiyo(picha na Freddy Maro)

No comments: