To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Thursday, March 15, 2012

Lowassa Areje Nchini Kutoka Ujerumani

TBC1 usiku wa jana imeripoti taarifa za ujio wa Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akitokea Ujerumani. Lowassa alitoa ufafanuzi wa safari yake ya Ujerumani na utata uliotawala juu ya afya yake. Ameweka wazi kuwa afya yake ni safi; hana kisukari wala stroke, Kwamba yuko fit kwa mapambano.

Pamela Lowassa Sioi (kushoto) ambaye ni mke wa mgombea Ubunge Jimbo la  Arumeru Mashariki kupitia CCM, Sioi Sumari akiwa na mdogo wake wakati wa  kumpokea baba yao Edward Lowassa Uwanja wa Ndege jana.

No comments: