Hapa ni nyumbani kwa Mzee Pius Msekwa Oysterbay siku ya mazishi ya mtoto wake mpendwa Julius Msekwa (Mwana-Mlimani LY 1987)Kutoka kushoto mwenye shati jeupe ni Sudi Kavirondo, anayefuata jina limenitoka, Alex Makene, Paul Meela, Ricky Renson, Eric Msekwa, Nico Meela, Novatus, Victor Makene na Aikameni Mshiu. R.I.P Julius
Marehemu Julius Msekwa
2 comments:
Anonymous
said...
Watu wamebadilika sana....inapendeza kuwaona wote wamekaa ki pesa pesa hivi, mungu awabarki
2 comments:
Watu wamebadilika sana....inapendeza kuwaona wote wamekaa ki pesa pesa hivi, mungu awabarki
R.I.P Julius..mourn you till we join you.
Post a Comment