To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Wednesday, December 15, 2010

Julius Msekwa alizikwa na wengi

Hapa ni nyumbani kwa Mzee Pius Msekwa Oysterbay siku ya mazishi ya mtoto wake mpendwa Julius Msekwa (Mwana-Mlimani LY 1987)Kutoka kushoto mwenye shati jeupe ni Sudi Kavirondo, anayefuata jina limenitoka, Alex Makene, Paul Meela, Ricky Renson, Eric Msekwa, Nico Meela, Novatus, Victor Makene na Aikameni Mshiu.     R.I.P Julius


Marehemu Julius Msekwa


2 comments:

Anonymous said...

Watu wamebadilika sana....inapendeza kuwaona wote wamekaa ki pesa pesa hivi, mungu awabarki

Anonymous said...

R.I.P Julius..mourn you till we join you.