To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Monday, May 16, 2011

SHUKRANI



Familia ya Marehemu Dr. Fanuel Christopher Shechambo wa Magamba- Lushoto inatoa shukrani za dhati kwa wote walioshiriki katika kumuuguza na hatimaye kutufariji katika msiba wa marehemu baba yetu mpendwa Dr. Fanuel Christopher Shechambo aliyefariki dunia tarehe 16-04-2011 huko Lushoto Tanga na kuzikwa tarehe 19-04-2011 huko kijijini Mlalo-Dule.
Shukrani za pekee tunazitoa kwa Askofu Stephen Munga na uongozi wa KKKT Dayosis ya Kaskazini Mashariki, Mkuu wa chuo Kikuu kishiriki cha Sebasitian Kolowa na wanajumuiya wote wa chuo, Chuo Kikuu cha Tumaini, Hospitali ya KCMC, Hospitali ya Wilaya Lushoto, Hospitali ya Bumbuli, Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam (UDSM), Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine (SUA), CCM Wilaya ya Lushoto, CHADEMA na CUF, Wabunge wote wa majimbo ya Lshoto, Manispaa ya Ilala, Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), KKKT Usharika wa Mlalo, KKKT sharika za Tiku-Lukozi na Magamba, Kanisa la CCT-UDSM, Madrasa ya Mazizini-Lukozi, Majirani wa Dar-es-Salaam, Lushoto na Mlalo pamoja na ndugu, jamaa na marafiki.

BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA, JINA LA BWANA LIHIMIDIWE

1 comment:

Gloria said...

We just love you too much dady!you were the best!feels empty without you!