To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Sunday, September 25, 2011

Rais Kikwete ang'ara katika ufunguzi wa mkutano wa DICOTA 2011 jijini Washington DC

Wahudhuriaji wa mkutano, nyuma waliosimama namwona Martin Elia "Jay P"

Mdau Richard Kasesela mbele kulia

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa NSSF na kulia ni Kamishna mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA  Harry Kitilya

Katikati ni Mkurugenzi wa Operesheni wa NSSF Ndg. Magori

Picha ya pamoja, nyuma kabisa katikati namwona Martin Elia 'Jay P"

Rais Kikwete akisalimiana na baadhi ya watanzania waliohudhuria mkutano huo
Rais Kikwete akipata maelezo toka katika banda la PPF

No comments: