![]() |
Mkurugenzi wa Asasi za Kiraia AZAKI Bw. John Ulanga akizungumza katika ufunguzi wa Tamasha hilo kabla ya Waziri Dk. Mary Nagu kufungua tamasha hilo asubuhi hii katika hoteli ya Bleu Pearl. |
![]() |
Baadhi ya washiriki wa Tamasha hilo wakimkaribisha Waziri Dk. Mary Nagu wakati alipokuwa akiiingia katika ukumbi wa mkutano tayari kwa kuzindua tamasha hilo asubuhi hii. |
No comments:
Post a Comment