To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Sunday, November 20, 2011

Mahafali Chuo Kikuu Cha Waislamu,Morogoro



Baadhi ya Wahitimu wa MUM waliopokea Nondo zao jana wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa chuo na baadhi ya wageni maalum katika mahafali ya nne ya Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro. Mkuu wa Chuo hicho, Mama Mwatumu Malale alitunuku shahada ya kwanza  kwa wahitimu 272 wa fani mbalimbali za kielimu
Picha na Shukuru Mohammed

No comments: