To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Monday, November 28, 2011

Matukio Ya Mafuriko Na Maafa Ya Mvua Arusha



Pichani ni athari na madhara yaliyosababishwa na mvua ambayo imenyesha usiku wa kuamkia juzi, wilayani Karatu na Monduli mkoani Arusha, ambapo mtu mmoja anasadikika kufa huku nyumba kadhaa zikiwa zimezolewa, baada ya Mto Kirurumo kukatika na kusababisha mawe kujaa barabarani hali ambayo imesababisha Mawasiliano ya barabara kati ya Karatu na Arusha kukwama.

No comments: