Baadhi ya Wafanyabiashara na wakazi wa maeneo ya jirani na Soko kuu la Mji wa Tunduma jijini Mbeya wakishuhudia moto mkali uliokuwa unateketeza soko lao hilo leo.Moto huo ambao unadaiwa kuwa ulianza kidogo kidogo na baadae kuwa mkubwa kuanzaia majira ya saa 11 jioni ya leo. Taratibu za awali za kuuzima moto huo zilichukuliwa lakini hakukuwa na mafanikio yeyote na baadae walifika askari wa kikosi cha Zimamoto cha Mkoa mkoa wa Mbeya huku wakiwa na magari yao ambayo yalikuwa hayana maji,hali iliyofanya moto huo kuendelea kuteketeza soko hilo pamoja na mali zake.
Monday, November 28, 2011
Soko Lawaka Moto Tunduma
Baadhi ya Wafanyabiashara na wakazi wa maeneo ya jirani na Soko kuu la Mji wa Tunduma jijini Mbeya wakishuhudia moto mkali uliokuwa unateketeza soko lao hilo leo.Moto huo ambao unadaiwa kuwa ulianza kidogo kidogo na baadae kuwa mkubwa kuanzaia majira ya saa 11 jioni ya leo. Taratibu za awali za kuuzima moto huo zilichukuliwa lakini hakukuwa na mafanikio yeyote na baadae walifika askari wa kikosi cha Zimamoto cha Mkoa mkoa wa Mbeya huku wakiwa na magari yao ambayo yalikuwa hayana maji,hali iliyofanya moto huo kuendelea kuteketeza soko hilo pamoja na mali zake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment