To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Wednesday, December 7, 2011

Airtel Money Pesa Mkononi Yazinduliwa Hii Leo Nchini Tanzania

Mgeni rasmi,Waziri wa fedha na Uchumi,Mh Mustafa Mkulo pamoja na Mkurugenzi wa Airtel Money Kelvin Twisa wakizindua huduma ya Airtel Money kutoka Airtel Tanzania,hafla hiyo imefanyika leo mchana kwenye hotel ya Hyatt-Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam,Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania,Bw.Sam Elangallor akishuhudia tukio hilo.

Baadhi ya Wafanyakazi wa Airtel Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi wa huduma ya Airtel Money,leo jijini Dar.
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania,Bw.Sam Elangallor akizungumza kwa ufupi kuhusiana na uzinduzi wa huduma ya Airtel Money Tanzania.
Mgeni rasmi,Waziri wa fedha na Uchumi,Mh Mustafa Mkulo akisoma hotuba yake mbele ya wageni waalikwa mbalimbali (hawapo pichani) waliofika kwenye uzinduzi wa huduma hiyo itolewayo na Airtel Tanzania.

No comments: