Monday, March 19, 2012
JK amuapisha Mkuu mpya wa JKT Tanzania
Amiri Jeshi Mkuu, Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi miongozo ya kazi mkuu mpya wa JKT meja Jenerali Samwel Ndomba wakati wa hafla ya kumuapisha iliyofanyika Jana asubuhi ikulu jijini Dar es Salaam. Picha na Ikulu
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment