To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560                                                 To Advertise on this Blog please Call: O713 397 767 or 0785 555 560
Mail Me

Tuesday, November 29, 2011

Balozi Wa Denmark Amuaga Rais Kikwete

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na`Balozi wa Denmark aliyemaliza muda wake wa kazi nchini Bw. Bjarne Henneberg Sorensen jijini Dar es salaam leo Novemba 29, 2011 wakati alipokwenda kumuaga Ikulu Picha na IKULU
Balozi wa Denmark aliyemaliza muda wake wa kazi nchini Bw. Bjarne Henneberg Sorensen Ikulu akipunga mkono kama ishara ya kuaga wakati alipokuwa akiondoka Ikulu.


Rais Dk. Jakaya Kikwete akiagana na Balozi wa Denmark aliyemaliza muda wake wa kazi nchini Bw. Bjarne Henneberg Sorensen Ikulu.

No comments: