Walioteketea kwa moto inadhaniwa kuwa ni dereva na tandiboy waFuso ambao walibanwa katika gari hilo baada ya kukatika cabin. |
Mafuta ya kupikia ya alizeti yalitapakaa katika eneo hilo. |
Fuso ilivyoteketea kabisa na moto. |
Wanawake wa Kijiji cha Kadori wakichota mafuta yaliyomwagika katika ajali hiyo.Lakini je mafuta haya yaliyomwagika chini ni safi na salama kwa afya. |
No comments:
Post a Comment